Nilikiwa nmeshajiandaa na kuvaa viatu kw ajili ya kutoka out weekend hii ila alichokifanya south Africa nimerud chumbn na kuvua kila kitu nmebaki na boxer tu hapa kitandan acha nilale
Ni wachache sana waliobarikiwa talent ya kuandika story ya waliyopitia kwenye maisha yao na kutumia mda wake kukuandikia sisi humu tusome for free kwanza heshimu hilo.
Pia amekupa option 3, kama una haraka na huna uvumilivu na story yake mchangie japo kdgo tu shlng elfu 3 akutumie WhatsApp...
Pole sana ndg yngu umepoteza hala nyingi hiyo kwa hali ya maisha ilivyo ngumu sasa hivi, trust me i feels your pain
Badili aina ya uchezaji unaocheza hiyo hela ni mtaji tosha sana wa kuanzia na uli upate hela kwenye betting nidhamu ya hali ya juu sana inatakiwa na kuweka pemben tamaa ya kutaka...
Laki 238,000/= faida kwa siku ya leo
Huu utakuwa mkeka wangu wa mwisho kuposti naamini kw walio nielewa kufata njia hii watakuwa wamenielewa maana nimejitahid kutoa maelezo na mifano ya kutosha
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Najaribu kuwaonyesha haya makumpuni yanaweza kupigwa kwa namna gan, sio lazma uweke kiasi kama nilichoweka mm, weka kiasi ambacho hata ukipoteza hakito kuadhiri kulingana na kipato chako
Sio kama matren sichezi nacheza ila ni betpawa na spotybet na hutakiwi kuwa unatoa hela mfukon kucheza mm...
Sinimekupostia mkeka niliocheza kiasi nilichoweka na faida niliyopata au unadhani unaona vibaya.? Hujakosea kuona hiyo ni million 1 kweli na nimepata 187,000/= faida kwa single beti ya timu 1
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kutafuta odds ya 2 ndg yng sio mchezo ni ngumu sana, unaweza kuotea siku ya kwanza ya pili chali au ya tatu kama sio ya 4, ila kutafuta odds ya 1.25 kushuka chini kwa timu 1 ni rahisi zaidi
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wazo zuri na nimeshajaribua sana ila Hapo kwenye kuukuza hadi ufike 1 million ndio shughuli ilipo, unaweza kujikuta hicho kidogo kidogo unachoweka kila siku na kuliwa kikavuka hata hicho kiasi
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Habari wapambanaji wenzangu ambao mpo humu ndani, nikitambo kidogo sijabeti kutokana na ligi kuisha na kutokuwa na mtaji wa kuweka ili kupata faida kwenye betting
Betting pamoja na bahati pia inataka uwe na mtaji wa kutosha ili ucheze timu chache na kuweza kupata faida
Mim binafsi huwa...
Don't give up the fight wazee wa matren
Kuwen moyo wa chuma chini ya 1million cash out usikubali kwa capital chini ya elfu 1
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hebu tumpen mda atulize akili kwanza hali aliyonayo kwa hicho kiasi sisi wacheza betting wote tunaijua
Naamini kabla ya siku ya leo haijaisha atatuma humu huo mkeka, hisia zangu mim zinaniambia ni kweli kashinda
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.