Dola 1000,ATC yetu jaman tunakwenda wap...?? m nakereka sana na hao n CCM tu si ndo walio in power...! Wenye SERA mbovuu..! 'Baadh ya waTz bado nao wanaendelea kuokota mawe badala ya Almas lakn ipo siku watangundua walkuwa busy wakiokota kisicho' Siwatukani maana ninyi ndo VOTES...
Daaah huo utaft ni nomaa..!mwanasaikolojia mmoja told me,'kijana nnavyokutazama how u do yor things t implies dat IQ yako n kubwa'..kumbe ts all about using Operaaa..m natumia Opera bwn dats why ma IQ n kubw.. ww je?'
Is dat a fashion or udhalilishaji?women fght 4 their rghts nd empowrment lakn bado wao ndo wa kwanza kusonga hatua 2 mbele then hatua 5 nyuma,kwel hapa wasahauu! 'umaskn we2 uc we soc ya kutothamin u2 we2'.haya ndo ka ya BBA I rl Hate ths na hzo fashion n unafk tu.jaman tuish culture yetu ya...
Ni kwel kabisaa heslb haitimiz ipasavyo mahitaj ya hao wanafunz wasomao nje.lakn ushauri wangu kwa wengine,kwa facult zinazopatkana hapa bongo n bora mtu ukakomaa hapahapa na si kujivunia kutoka nje baadaye unashindw kumudu maisha ya huko.Kwa private sponsorshp ndo bora zaid kusomea nje..!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.