USIKUBALI HASIRA IKUANGAMIZE. Katika maisha kuna nyakati mtu au kitu kimekukasirisha kupita kiasi.Wote huwa tunakasirika. Ni kitu cha kawaida kukasirika. Akili na mwili ndivyo vilivyo. Lakini hasira kupita kiasi hubomoa, huangamiza na huaribu starehe zote za maisha. Usiende kulala ukiwaka...
Hiki ni kichwa cha habari cha makala ya Rai ya Jenerali ya wiki iliyopita toleo na 193 la Julai 6 - Julai 12 2011. Nawaombeni wote wale mnaoipenda nchi hii, muisome makala hiyo kwa umakini sana. Usisome kama hadithi au novel soma kama literature utakayofanyia mtihani kesho (read it meditatively)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.