acha kulalamika,hizo taxi zilizokamatwa hazina makosa? Kama wamewabambikia makosa wana haki ya kwenda ngazi za juu.Ungekuwa wewe ni traffic ungefanyaje? Tafakari.
kwanini wanafunzi wachelewe? Adhabu siyo tu kuchapwa viboko hata kutoa ngawila kwa kosa ulilolifanya nayo ni adhabu.Pongezi kwa walimu kugundua adhabu mbadala.
Polisi jamii na ulinzi shirikishi,sio mpaka awepo askari polisi hata wewe unaweza kumsaidia dada huyo.mtu yeyote ana mamlaka kumkamata mtu mwingine anayefanya uhalifu mbele yake na anatakiwa kumfikisha sehemu husika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.