Mtumishi unapostaafu afisa Utumishi anakutaka upeleke nyaraka ambazo yeye ndio alikupa, bado anakuambia umpelekee JALADA lako la ajira ambalo liko Serikalini angepaswa kuliagiza
Hakika serikali na mifuko ya jamii imekuwa chanzo cha usumbufu mkubwa wakati mtumishi wa umma anapostaafu. Serikali inapomtaka mtumishi wa umma atoe nyaraka zake za ajira wakati serikali yenyewe ndio iliyompa huyo mtumishi inashangaza.
Serikali inapomtakamtumishi wa umma akalete jalada lake...
Bw.Mtulia ni mbinafsi hafai kuchaguliwa.Hata CCM inajua.Kitendo cha kubinafsisha ubunge wako bila kutushirikisha tuliokuchagua ni Ubinafsi Mkubwa.Hatuna imani na wewe hata VIJANA uliwahidi kuwapa MIKOPO ukiwa Mbunge Wa CUF lakini HUKUWAPA.
Hayawi hayawi yamekuwa.Hatimae Mbunge Ester Bulaya amemfanya Mzee Stephen Wassira astaafu KUGOMBEA UBUNGE badala yake atakuwa mshauri ndani ya Chama chake cha CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.