Kwa wakazi wa Tabata, Segerea, Kinyerezi na wanaotumia Barabara ya Tabata kupitia Tabata Reli kwa siku mbili hizi zimekuwa ni ngumu pamoja na kujitahidi kutoka mapema lakini kulikuwa FOLENI isiyo na msingi kwani ilikuwa inasababishwa na Askari mmoja au kundi la askari waliokuwa wanasimamisha...
Nipo Tabora siku ya pili leo nimeshangaa kwa mara ya kwanza mwaka huu mchele umepanda ghafla toka 800-16000 na Kuwa 1600 hadi 2300.
Kuulizia sababu naambiwa kuna wafanyabiashara toka Kenya, Uganda, Sudan Kusini na wenzetu wa Zanzibar ambao wanachukua mchele wa Tabora na Shinyanga na kwenda ku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.