Search results

  1. kalistus komba

    CCM nimewasoma vilivyo kuhusu nia yenu ya kupata wabunge wengi

    Kumbe nia ya kutumia nguvu kubwa katika kuuwa upinzani ni ili wapate wabunge wengi bungeni na wapate nafasi ya kupata kula ya ushindi pale watakapopigia kumwongezea rais muda wa kukaa madarakani, sasa washindwe na walegee kabisa hawa sisi wananchi tumeshachoshwa......
  2. kalistus komba

    No one is above of laws, kutoka kwa babu seya,

    Eet, inasemekana maamuzi ya rais kumtoa babu seya kavunja katiba ya nchi kwasababu babu seya alikuwa kasha thibitishwa na mahakama kama ni anaatia, so nini maoni yako??
  3. kalistus komba

    Kutoka kwa babu seya na mwanaye

    Mh magufuri anastahili hongera katika hilo lakini yote kwa yote, mh lowasa ndo kiini cha yote hayo kwasababu yeye ndo aliiweka hiyo kama irani ya compain hivyo bado kunaumuhimu wa uwopo wake na umuhimu wa kuendelea kuwepo kwa jina la lowasa. Mshangae yeyote ambaye anasema EET, kama magufuri...
Back
Top Bottom