Bora hata wewe,mwenzako mwanaasha jakaya Kikwete hapo Feza girl kalamba four ya 27,1V 27 alikuwa muda mwingi anachart na watoto wa Mwai Kibaki kwenye facebook kusoma akasahau.
Mmefanya nini miaka hiyo yote 35 nyie CCM! Kubwa mlilolifanya ni kuiba mali za watanzania na kufisadi nchi kwa kudhurumu haki na utu wa Mtanzania! 2015 bye bye CCM.
Wabunge wa CCM na serikali yao legelege na dhaifu haijui inachokifanya katika utendaji wake,wamekalia kujaza matumbo yao kwa kuwaibia watanzania mali ghafi zao! Ni heri CCM 2015 ipumzike.
Serikali legelege na dhaifu ya CCM huwa na maamuzi legelege na dhaifu,wamekalia kuiba mali za watanzania na kuwafanya watanzania kuwa watumwa katika nchi yao.
Wamewachukua watu kijijini na kuwaleta mjini kwenye malori,kweli CCM chama cha mafisadi kinadhalilisha haki na utu wa mwanadamu! 2015 bye,bye,bye,bye mafisadi CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.