Mimi ni mhitimu wa Degree ya Barchelor of Business administration in Accounting with Education natafuta kazi yoyote ile inayoendana na elimu yangu namba za simu 0714488026
Mimi ni kijana ambae naishi arusha elimu yangu ni Diploma ya accountancy nahitaji kazi inayohusika na kada tajwa hapo juu ambayo inapatikana arusha kwa sasa ni Barchrlor progress 3rd year namba yangu ya simu ni 0714445217.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani nauliza kuna jamaa yangu akusoma diploma akafanikiwa kujiunga Barchelor sasa yuko mwaka wa tatu ila chuo chake kilitoka kwenye orodha ya kusitishiwa udahili je anaweza kuathirika kwenye barchelor yake maana wale ambao walikuwa hawajaomba wakivyojaribu kuomba wanaambiwa matokeo yake...
Samahani naomba kuuliza kwa anaejua je mtu anaesoma course tajwa hapo juu anaweza kuajiriwa na serikali kama mwalimu kama mwalimu mwingine na je fursa zingine za ajira kwenye course hiyo ni zipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.