Jamani wanajamii, watu wanachanganya sana konsonanti "u" na "hu". Sasa Dada anasema kama una mchumba njoo, hapana anamaanisha kama huna mchumba, ndo maana anasema kama unataka kuoa, hapa Yupo sahihi
Kwakweli nimekupenda sana kwa uchambuzi wako ulioufanya. Kanisa bado tunao waumini wenye mtazamo na kumbukumbu ya kutosha ya matukio mhm sana kama hayo. Nakuoongeza sana ndugu yangu kwa tafakari-moyo hii uliyotuletea. Mungu akubariki sana.
Kama wewe ni mkatoliki tafadhari mwone padre wako au paroko wako akupe ushauri unaofaa. Ni ngumu sana kusema kwa mmeo pia ni ngumu sana kukataa kuolewa maana heshima ya mwanamke yeyote kama hakuchagua Maisha ya wakfu, anapaswa kuolewa na kuwa na Mme. Mimi ni PADRE ila sijui wewe upo pande zipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.