WEWE ndo una propaganda mfu, unataka kutuaminisha ujinga wako kwamba takwimu za serikali ni uongo wakati kila kitu kipo na mfalme kakimbia nchi? zipo wapi zile hotuba za live hata kuwahutubia WEOs huku akitamba kwamba yu jasiri
Kama ulisikiliza press ya polepole haina tofauti na haya aliyosema huyu jamaa. Kumbuka pale aliposema wametumia AKA badala ya jina kamili.
Hugo mfadhili gani wa kufuatilia chama kimoja tu? Mlishawahi sikia anamwandika barua mrema?
Habari wanabodi,
Haya yanayotokea hayatokei kwa bahati mbaya. Ni mipango ya makusudi ikiongozwa na kuratibiwa na vyombo vya ulinzi.
Mwaka Jana nilikuwa kwenye jimbo moja la uchaguzi. Pale kulikuwa na madiwani wawili toka upinzani.Kati yao mmoja anatoka CUF na mwingine CDM.Ulikuwa msimu wa...
Katika hao mtoe she he mkuu wa BAKWATA yule no mwana CCM ukienda kwake utakuta haya mfeka majani anajezi lifulana la CCM haya yye mwenyewe akiwa mapumziko huvaa Yale matambara unategemea nn hapo
Nchi inachafukaje? Athar za kuchafuka kwa nchi unazijua? Kwa taarifa yako haya makaburu walijenga kila kitu kama hayo Maleri lakini walichafuliwa kwa matendo ya kipuuzi kama anavyofanya Hugo kichaa
aliuza nyumba za umma kwa hawala zake na nduguze, anajifungia ndani na watengeneza ndege na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.