Mtanzania bana,
Badala ya kupinga Posho ya Mbunge mnapinga Posho ya kitako?
Vijana wa nchi hii majanga, eti Jukwaa la wazalendo?
NB: Posho ya Mbunge 8M per month while Posho ya Kitako 120,000 kwa siku.
Mbunge akiwa hayupo hakuna ya kitako ila ya mbunge ipo!?
Mkuu,
Jifunze kuandika vema kiswahili, kuna tofauti kubwa kuandika hapa jamvina na kama unamtumia mwenzi wako.
Lugha uliotumia kuandika si kiswahili sahihi na point zako zitakuwa si sahihi pia.
Over!
Kuapa kuitumikia katiba ndiyo sawa na kumgumikia rais?
Hatukatai Magu ni rais ila wa baadhi ya maCCM.
Atakuwaje wa jamuhuri wakati umefutwa uchaguzi wa upande mmoja wa muungano?
MaCCM buana
KATAMBI ni mjinga na mtu asiejielewa, kaipoteza BAVICHA yetu na Kaenda Shy kauza Jimbo la Shinyanga Mjini kwa Masele.
Anajua kuwa si mzawa wa Shinyanga akangangania kugombe kaisambaratisha CHADEMA shinyanga na Sasa CHADEMA Taifa.
Leo Mh.Lowassa anasema hamtambui Ndg. MAGUFULI yeye anatoa...
Heshima mbele...
WADAU,Chama cha CHADEMA taifa, kimewasimamisha viongozi wa wilaya ya shinyanga mjini,mwenyekiti Mbarouk, katibu Ngasa pamoja na Mweka hazina bwana Kasiri.
Taarifa za uhakika zinasema uongozi wa wilaya wamesimamishwa rasmi jana.
na umeleta taharuki kwa baadhi ya wapenzi na...
Wadau,
Tunataka kuona ipi itakuwa ni event ambayo itabamba hapa jijini Dar siku ya j'mosi May30, kati ya Instagram Party vs Nyama Choma.
Kwa maneno mengine, Instagram Party ipo kwa kijana machachali Fredy na team yake Idris na Wema Sepetu.
Upande Mwingine, Nyama Choma ni bi Carlo Ndosi...
Umeomba dakika hiyo hiyo nimetoa, stationery saa ngapi mkuu?
Ni hayo tu mkuu, najua ujumbe mmemfikia na atachukua hatua sitahiki.
Nakuahidi tutampata mwakilishi wa wana shinyaga sisi wana shinyanga wenyewe.
Mkuu RwB,
Mkuu nakuwekea ushahidi wa kuwa ndio mtu wa kwanza kuweka nia hapo Kahama.
Baadae akaondoka kuja shy.
Mkuu jifunze na siasa za sehemu zingine utapata ufahamu mkubwa wa kisiasa. Aksente.
Always am perfect
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.