Nimeamin hayo baada ya kukaa muda mrefu bila kuona ajira zake hatimaye n wahudumu WA afya 15 tu walio ajiliwa na haijulikani wamepatikanaje mh kumbe undugunization na kujuanization bado kupo imekula kwetu makapuku aka tusojulikana
Sasa katika mgogor huu imefikia hatua ananitamkia mbele ya uongoz wa baraza la kata kuwa nanukuu "utakufa vibaya juu ya eneo hili " mwisho wa kunukuu.
Je msaada wa kisheria nikamfungulie kesi au tatizo ninaloliona ni kuwa mashahidi wanaweza kunigeuga kwani ni watu wake.
Nifanyeje?
Bibi aliuza shamba la ekar 6 baadae mnunuzi akajimilikish shama lote tulipo kuja wajuaji tukagundua bibi kaingzwa choo cha kike sasa tumefungua kes balaza la ardhi mtuhumiwa anadai apimiw kwa vipimo vyake ambavyo kwa ekari anadai ni mita 70 kwa 70 ambapo itakuwa ekar ni SWA na mita za mraba elfu...
Mfano wake mie hapa kwa mala ya kwanza 2012 nilimaliza na kupata four ya point 29
Kama ifuatavyo.
Civic D
Geog D
Phyc D
Chem D
Biolog D
Kiswa. D
History F
Englis F
Mathe F
Mara ya pili 2014 nkarudia rena na kupata GPA ya 1.4
Kama ifuatavyo
Civic E
Geog E
Phyc E
Histor D
Chem...
Mimi huwa nikiumia sana basi nyama inakua pare nilipoumia yaan hii hali yanitesa sana inaniaribia mwonekano WA mwili wangu kitalamu hivi vinyama wana viita kiloidi sasa nifanyeje maana nilitakaga kwenda kufanya upasuaji watu wakanambia ndiyo vitakuja kukua zaidi je nifanyaje
Nilipima shamba kwa kutumia mita kamba na kupata kama ifuatavyo,,
Urefu wa shamba 210m
Upana wa shamba 190m
Je kwa vipimo hivi ni sawa na hekari ngapi za eneo
Natanguliza shukrani.
Nnashamba pwani hekari 2 nataka kulima pine plant (coniferophyta plant) kwa ajir ya uvunaji wa mbao je vipi hali ya hewa ya pwani(mkulanga kijiji cha jaribu)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.