Katika kuhakikisha kazi yako inakuwa safi na nadhifu kabisa. #watusmartpackaging tunajuza leo mambo muhimu kabla ya kuchapisha mifuko toka kwetu au sehemu nyingine.
1. Artwork /picha Kabla ya kuchapisha mifuko ya kuwekea unga ile ya viroba au ya salfeti ni muhimu kuwa na mchoro au picha ambayo...
Muimbaji wa muda mrefu wa kwaya ya Ambassadors of Christ, Mr. Nelson Manzi pamoja na mke wake Eunice wamepata mtoto wa kike, taarifa toka kwa ndugu wa karibu wa familia hiyo ametupa habari. Pongezi kwa wawili hawa na Mungu awape hekima kumlea mtoto wenu...
Habari na injilileo
Katika maisha ya ujana wengi wamepitia kwenye kipindi tofauti tofauti, imetokea na mimi nkafahamiana na mtoto mkali kinoma, akiwa chuo tukachat fresh, alipomaliza akiwa mkoa mmoja fulani akaja mkoa nilipo mimi, siku hyo naonana nae dah.....mtoto msupu hatari, japo nilikuwa na demu lakin pale...
Habari wana JF, wale wakulima na wadau wa sekta ya kilimo, nawakaribisha sana katika huduma ya kuprinti mifuko ya kuwekea mazao na vyakula vya kuku na wanyama, bei zetu ni nzuri na ubora wa rangi katika mifuko ni unajulikana kwa shuhuda za wateja wetu. Mashine yetu ni ya kisasa na unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.