Sio Kukisa Penalty tuu!
Yanga Wakisafiri na Aucho,Pacome na Yao,
Wakisema wapo fit 80% tuu!
Kwahiyo hawawezi kucheza!
1.Najiuliza utasafirije na Watu ambao ni Majeruhi?
2.Kwanini wasiwekwe kwenye reserve lists/Subsitute ili incase ikitokea Mikwaju ya Penalt waingie halafu wapige?
Walufanya...
Sio Kukosa Penalty tuu!
Yanga Wakisafiri na Aucho,Pacome na Yao,
Wakisema wapo fit 80% tuu!
Kwahiyo hawawezi kucheza!
1.Najiuliza utasafirije na Watu ambao ni Majeruhi?
2.Kwanini wasiwekwe kwenye reserve lists/Subsitute ili incase ikitokea Mikwaju ya Penalt waingie halafu wapige?
Walufanya...
Wewe unaonekana Una chuki binafsi!
Na Nitawashiwi watu wasikuunge mkono…
labda ufanye Yafuatayo
1.Ueleze njia mbadala alizozisema Shabiby ambazo nadhani ni zaidi ya Moja ili kutunisha Mfuko wa Bima ya Afya.
Nadhani alisema Pia Wabunge wakatwe kiasi Fulani!
Wewe unataka Wazazi wetu Babu zetu...
Habari wakuu,
Kwa sababu hii Kutowapanga Aucho,Pacome,Yao Eti hawapo Fit 100% Kuwa wasijekuumia wakakosa Ubingwa na kuwatumia kwenye Ligi pamoja na Mechi ya Simba!
Leo wanaweza Kupigwa Nyingi na Mamelodi
Na Ubingwa wa NBC pia wakakosa! Hata kama wakija Kumfunga Simba!
Nliona kabisa hii match kuna kitu kipya ambacho si cha kawaida kwa hawa mbwas. Sijajua ni nani aliyewatonya mambo flani hawa mbwas.
Ilikuwa tuwachape 1 bila game iishe hivyo. Lakini kuna kitu walikifanya bila kutushirikisha. Inawezekana kuna kiongozi mmoja ni Mkia mule ndani jana alipata nafasi...
Hapana kaka…
Hii ilikuwa zamani!
Siku hizi Aga Khan wako juu zaidi!
Wahindi kwenye Medical wako juu sanaaa na Makini kuliko sisi weusi!
Wao Aga Khan wanaajiri wale wataalam kutoka Jordan,Pakistan,Nk kwa ujira mdogo kuja hapa bongo!
Tatizo lingine nadhani la Mhimbiki ni Custumer care!
Naunga Mkono hoja[emoji736][emoji736][emoji736][emoji2957]
Kuna Jitu linajiita Muite limeamzisha Uzi linajifanya lenyewe ni simba Eti Linaona Kuna Fitina!
Yanga Kupangiwa Mamelodi
Kaka Mimi na wewe si Yanga???
Aaaa nimekumbuka kama tulivyoongea kuwafitinisha Simba!
Tukassma Ujifanye wewe ni Simba!
Usisahau Kuja Pale kijiweni Mkuu!
Sisi yanga lazima Nassma Lazima tufike Nusu fainali kabla ya Simba Mwaka huu!
Ili tuwazodoeee kuwa Wao simba wanaishia walipozoea Kuishia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.