nakushukru bwana kwa yale yote uliyonitendea mwaka 2017 asante kunifikisha 2018 nikiwa na afya njema pamoja na familia yangu sina cha kukutolea zaidi ya kusema adante mungu kwa rehema zako ulizozionesha katika kazi zangu zote nilizofanya mwaka 2017 naomba baraka zako ziendelee unipe hekima na...
Kwanza kabisa natoa pongezi za dhati katika Serikali ya awamu ya tano inayofanya kazi kwa uzalendo mkubwa uliotukuka wa kuwahudumia wananchi katika masuala mbalimbali ya maendeleo kama maji, elimu bure, kukomesha uzembe kazini , kudhibiti rasilimali za taifa, vyeti feki pamoja na watumishi hewa...
Habari wakuu,
Napenda kumpongeza mheshimiwa Rais kwa kazi nzuri anayoifanya katika taifa hili,najua walio wengi si wote watampongeza katika kazi hii ya kuionyosha nchi ambayo ilikuwa imegubikwa na wapiga dili ambao waliona taifa hili kama la kwao na hata hivyo si wote wangempongeza lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.