Wewe Liverkuku pumzika ulikuwa unasumbua tu mahakama jana watu wamekunyoa. Fainali yenyewe umepita kwenye mgongo wa Inter Milan, Benfica na Villarreal hizo si timu za kucheza Europa.
Haihitaji uwe mwananchi kuliona hili hata Simba alipokuwa kwenye ubora sote tulikuwa tunaona kabisa kuwa Simba anachukuwa Ubingwa kweupe basi tu ubishi wa hapa na pale haukosekani.
Mwaka wa Yanga huu wanastahili hata wasipocheza vizuri wanapata matokeo hata wanapowakosa wachezaji muhimu wanapata matokeo ndivyo timu zinavyochukuwa ubingwa hivyo hizi story zengine tumezizoea kwenye soka letu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.