Habari za mchana wanajamvi.
Gari yangu ni automatic na lina tatizo ambalo bado sijalielewa, kila ninayemuuliza ananipa majibu yake.
Tatizo lenyewe ni hili: Ukiingiza gia (D) au ( R) inatoa kishindo na gari linashituka hapo gia inakuwa imeingia, halafu inachelewa kubadili kutoka namba moja...
Kama mgonjwa kafia kwenye ambulance ni lazima afikishwe kwenye hospitali aliyokuwa anapelekwa, ili daktari atakayempokea athibitishe kifo kwa kujiridhisha na vipimo, haiwezekani ukathibitisha kifo cha mgonjwa akiwa njiani kuelekea rufaa.
Nchi ni eneo la kijiografia lenye mipaka inayotambulika kimataifa, na serikali ni taasisi halali inayoingoza nchi husika iliyowekwa kihalali na wananchi kwa mujibu wa katiba yao, au iliyopo kwa mabavu au vinginevyo kwa lengo la kusimamia/kutumia/kunyonya rasilimali za nchi husika.
Ninachokiona Mimi ni kuwa huyu mtoto anapata mateso haya wakati baba yake yuko kazini, hivyo mama/ mkewe anakuwa na muda wa kutosha wa kutekeleza matukio ya unyanyasaji, kwa kuwa baba wa mtoto anakaribia kustaafu, aidha mama wa kambo ataacha kumnyanyasa mtoto, au manyanyaso yake yataonekana...
Ninachokiona Mimi ni kuwa huyu mtoto anapata mateso haya wakati baba yake yuko kazini, hivyo mama/ mkewe anakuwa na muda wa kutosha wa kutekeleza matukio ya unyanyasaji, kwa kuwa baba wa mtoto anakaribia kustaafu, aidha mama wa kambo ataacha kumnyanyasa mtoto, au manyanyaso yake yataonekana...
Karudi katika ubora wake, halafu haka kajamaa kaajabu sana, yaani pamoja na comments zote hizo hakajajibu hata moja, kanatusanifu tu, nahisi kanafanya research.
Ila anakoelekea anakujua yeye na muumba wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.