Fine wangu mi nakushauri umuache huyo msichana cause utamtesa mtoto wa watu juu ya hizo daut zako. Muache ampate mtu ambaye hatofaham hiyo story kwani ipo siku utamnyanyasa. Kutoa dem bikra sio kipimo cha maadili anaweza akawa malaya km kawa. Km nimekukwaza sory!
zekielboaz;2029056]Mchumba wangu hataki niendee kumutembelea kituo chake cha kazi. Kadai kaokoka hivyo anaogopa watu, hususan watawa waliopo maeneo hayo.tumeshawahi kupractice sex for many days.kwa ktumia nguvu nilienda kwake, cha ajabu nilifungiwa mlango mpaka siku natoka, hakuniruhusu hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.