Kiongozi sidhani kama umeelewa point yangu. Naomba usome tena angalia msisitizo niliotoa kwa nchi zinazozalisha hiyo chanjo ambazo hazikai meza moja na western countries.That is my point
Kiongozi hiyo habari siyo ya kweli.Mimi nipo karibu sana na Canada na nina jamaa zangu wengi tu Canada.Kuna wafanyakazi wenzangu wanafanya kazi remotely from canada na tunaongea nao kila siku. Na hicho ulichobandika hapo hakina juu wala chini.
Kiongozi hebu fikiria hii kitu kwa akili ya kawaida...
Point muhimu ni hiyo ya mwisho hapo,acha blah blah zako.Unapoweka inflation tuambie basi kama income imepanda na kama imepanda au imeshuka. Uweke uhusiano wa income na inflation.
Kiongozi hapo juu umemlaumu mdau kwa kutumia lugha isiyo ya kistaarabu.Hapa wewe unaita binadamu wenzio "mijitu" nilidhani wewe unayekosoa watumia lugha isiyioya kistaarabu,utakuwa mfano lakini naona kama sivyo.
Mkuu umesoma content lakini ? Hiyo ni kitu ilikuwa inajulikana tangu zamani sana.Angalia ni 5G band gani na maeneo gani ambayo wameahirisha kuanza kutumia na kwa nini wamefanya hivyo.
Mkuu mimi nipo huku USA miaka mingi mno,vyakula kukosekana super market ni stori za vijiweni tu,Biden kashinda vizuri tu ndo maana hata republican walivyofanya auditing mfano Arizona hawakukuta wizi wowote wa kura.Mkuu ni vyema twende na facts kuliko conspiracy theories.
Kama unasema Biden ana...
Lakini kiongozi kwenye ile ID yako nyingine kuna mengi sana ulisema kuhusu Biden akichuka madaraka,mbona hatuyaoni ? Wewe ulitarajia na kutoa links kadhaa kuwa Trump ataendelea kuwa president imekuwaje ?
Mkuu sio kitu cha ku convert. Kupata watts inabidi utupatie Voltage na Current na wala sio Voltage peke yake
Mkuu nashukuru umeona mapungufu ya jibu lako ingawa mteja aliyekuuliza swali la watts ngapi hujamjibu.Anyways nilikuwa najaribu kumsaidia mteja aliyekuuliza swali apate jibu stahiki.Barikiwa
Kiongozi niliondoka Tanzania tangu 2001, nipo USA, kuja huko huwa ni likizo tu.Hapo unaposema ni mfumo tofauti kabisa na 1G-4G naona kuna ukakasi haswa kwa 4G. Tofauti ipo lakini low band ya 5G inatumia inatumia similar frequency na 4G ambayo ni 600-900 MHz.
Na pia kwa huku nilipo...
Kiongozi mbona huku nilipo 5G ilishawashwa tangu mwaka jana nadhani na sijaona tofauti yoyote na nipo na waliocjanjwa wengi tu? Kama kuna nisichoelewa naomba unieleweshe
Kiongozi hapo umeonyesha kabisa kuwa muathirika anatumia dawa kwa hiyo hapo nadhani wewe kiongozi elimu ya huu ugonjwa kuna sehemu hujaielewa.Kinashokukinga wewe kutopata ugonjwa ni mke wako kutumia dawa kikamilifu. Sikushauri ufanye hili ila unaweza ku test zali kwa kumwambia aache kutumia dawa...
Caterham ni 2 litre inline 4 ford engine,GTR ni 3.5 litre V6,na porche nayo ni inline 3 litre inline six.Hizo engine zote ni ndogo kuliko hiyo v8 yako.
Kiongozi naomba nichangie kidogo hapo.Gari za mjapani zinazoishia 180kmp ni zile zilitengenezwa maalum kwa domestic market(Japan) ndo ndio ambazo huko nyumbani wananunua kama used.Lakini ambazo Japan wana export masoko ya nje kama USA,European uninon countries zinakanyanga mpaka 260kph au 160mph.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.