Amani iwe nanyi wakuuu nipo hapa kuelezea mambo kadhaa ninayoyaona mbeleni endapo CDM itakufa au kutoweka kutokana na izi njama chafu za CCM
1.UKANDAMIZAJI WA HAKI ZA BINADAMU- hiki ndyo kitu kitachotokea baada ya upinzani kukosa nguvu kwa sababu wanyonge watakosa mtetezi
2.UPITISHWAJI WA...
Amani iwe nanyi wakuu
Napenda niende moja kwa moja kwenye mada siku za karibuni hapa nchini kumetokea wimbi la wanasiasa wa upinzani kujiunga chama tawala kwa kigezo cha kumuunga mkono raisi.
Lakn kwa taarifa za chini chini zinasema kuwa hao wapinzani wananunuliwa na chama tawala.
Na...
............sio kama na act /
No nipo really/
Japo msodoki mdogo ila nauwezo wa ku fail/
............................
Long time ago nilizimikaga na Sepetu wema/
Kisa skendo zaagazet moyo wangu ukamtema/
...........
Moyo nikauweka bondi kwa numbisa mwanaharakati
Ila wote tuna moka hatutodumu...
Baada ya kukaa na kumbuka maisha ya Shule na ugumu wake naomba kila mwana JF aje aseme njia alivyofukuzwa au alivyonusulika kufukuzwa Shule
Mimi binafsi nikikumbwa na msala kwa kusingiziwa kuvunja office ya decline master na kuiba simu na vitabu tulikuwa kma 8 iv kwenye huu msala aisee hili...
Baada ya kupotea kidgo na kukuta kuna ka mtindo ka kutoa list sasa nmeamua kuja na list ya wanawake wenye mvuto humu ndani
Ambao kila mwanaume anatamani kuwa nao hawa wafuatao ni warembo haswa hii ni kutona na research niliyoifanya na pia wanashobokewa sana.
1.Girl next-door .ila ni jasusi...
Natumain mpo wazima ndugu na jamaa kama kichwa cha hii topic kinavyojieleza hapo juu
Mm ni kijana wa kiume natafuta rafiki wa kike kwajiri ya kubadilishana mawazo
Kwa yeyeto ataevutiwa na hili andiko naomba tukutane PM japo kuwa ni ngumu kupata kutokana na uringaji wa wanawake wa humu lakn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.