Search results

  1. The sage

    Mbowe admits failure to declare assets

    You are illogical, inconsistent na hii inaonesha huna hoja. We unatambua kabisa kuwa huyu ni mheshimiwa kama ulivyo taja hapo awali na chini ya uongozi wake CDM kimekifanya chama cha magamba kipoteze mwelekeo kabisa. Sasa hilo hitimisho lako la kumwita huyu mheshimiwa mhuni halina msingi zaidi...
  2. The sage

    Bunge la bajeti 2011/2012 na yatokanayo

    Dalili za kufa! Kila kitu wanakosea.
  3. The sage

    Chadema mtoto habembelezwi kwa nyimbo mbaya!!

    Nilifikiri una mawazo mapana kidogo lakini kwa hili umejishushia. Kutokuwa na kurushiana risasi haimaanishi kuwa kuna amani. Amani sio tu kuwa hakuna mapigano. Maisha magumu waliyo nayo watanzania wakati rasilmali za nchi zikiishia kwa wezi wachache ni ukosefu mkubwa wa amani ambao vita yake...
  4. The sage

    Viti maalum- CHADEMA

    Hapa zinajibiwa hoja sio upupu! Siku nyingine fikiri kwanza halafu leta hoja.
  5. The sage

    Viti maalum- CHADEMA

    Hapa zinajibiwa hoja sio upupu! Siku nyingine fikiri kwanza halafu leta hoja.
  6. The sage

    Heshima kwenu wakubwa!

    Asante kwa research yako na hasa kwa kunikaribisha hapa jamvini.
  7. The sage

    Heshima kwenu wakubwa!

    Asante mkuu kwa heshima kubwa uliyonipa bila mastahili yangu! A red carpet!!!
  8. The sage

    Kadi feki za CHADEMA zachapishwa na CCM kuwapa raia wazirudishe ktk mikutano yao

    Hii ni JF where we dare to talk openly. Weka chanzo hicho hewani la sivyo tunajenga nyumba bila msingi!
  9. The sage

    Kwa wanaorudisha kadi za CHADEMA na kujiunga na CCM

    Hapa naomba tuwe wakweli. Kwa maneno yao wenyewe viongozi wa juu wa CCM wameshuhudia kuwa chama kimepoteza mvuto kwa watanzania na hasa kwa vijana. Wakati huohuo CHADEMA ni chama kilichojipatia umaarufu mkubwa na kukifunika CCM kwa kila namna, hasa kwa wakati huu. Hivyo mtu anaporudisha kadi...
  10. The sage

    Kikwete Hongera kwa Ujenzi wa barabara! Ongeza zaidi Kasi!

    Hiyo furaha ya rais wako inaonekana kuwa ya gharama kubwa na inapatikana mara chache sana. Na isitoshe furaha hiyo anaipata kutokana na juhudi za waziri anayemwita mbabe!!
  11. The sage

    Tanzania yenye utulivu bila amani miezi 8 baada ya uchaguzi

    Hata huo utulivu haupo. Huwezi kumyima mtu haki yake ukategemea awe mtulivu. Watanzania ni wavumilivu sana. Lakini kila kitu kina mwisho wake. Ipo siku, tena haipo mbali uvumilivu wetu utaisha na hapo itabidi kutumia msemo wa warumi "ukitaka amani, basi andaa vita"
  12. The sage

    Marando: Tunamtaka Rais mahakamani

    Huyu Rais kwa kukaidi kwake, kwangu mimi naona kuna mawili: ama ni dharau kwa mahakama ambacho ni chombo muhimu katika taifa letu au uhuru wa mahakama haupo.
  13. The sage

    Heshima kwenu wakubwa!

    Asante sana mheshimiwa
  14. The sage

    Heshima kwenu wakubwa!

    Asante sana. Mbona unasisitiza uvumilivu?
  15. The sage

    Heshima kwenu wakubwa!

    Asante mkuu.
  16. The sage

    Heshima kwenu wakubwa!

    Thanx Mr. Edward hope what you say is true. I like your signature!
  17. The sage

    Kumbe udini ndio ulitumika kumdhuru Lowassa kisiasa?

    Hapo kwenye Red: Kwanza, Kama udini ulianza siku nyingi kwa nini huyo ****** asubiri mpaka uchaguzi uliopita? Hii inaonesha wazi kuwa anatumia udini aliouasisi yeye mwenyewe kufukia uovu, wizi na uchakachuaji alioufanya. Pili, Juhudi gani za maendeleo alizofanya zaidi ya umasikini uliokithiri...
  18. The sage

    TAKUKURU, kuna kesi moja yenye ushahidi CHADEMA

    Hivi ule ushahidi wa Weakleaks uliishia wapi?
  19. The sage

    Tanzania bila watanzania

    Hii ndio falsafa ya chama tawala kinachowalinda wawekezaji/mafisadi kwa kuwaua watanzania.
  20. The sage

    Heshima kwenu wakubwa!

    :happy: Thanx Asha. Socrates has greatly influenced my system of thinking and that's why as I join the great thinkers, I do not hesitate to introduce myself with this great thinker in my signature and avatar. Again thanx for your concern and warm welcome!
Back
Top Bottom