You are illogical, inconsistent na hii inaonesha huna hoja. We unatambua kabisa kuwa huyu ni mheshimiwa kama ulivyo taja hapo awali na chini ya uongozi wake CDM kimekifanya chama cha magamba kipoteze mwelekeo kabisa. Sasa hilo hitimisho lako la kumwita huyu mheshimiwa mhuni halina msingi zaidi...
Nilifikiri una mawazo mapana kidogo lakini kwa hili umejishushia. Kutokuwa na kurushiana risasi haimaanishi kuwa kuna amani. Amani sio tu kuwa hakuna mapigano. Maisha magumu waliyo nayo watanzania wakati rasilmali za nchi zikiishia kwa wezi wachache ni ukosefu mkubwa wa amani ambao vita yake...
Hapa naomba tuwe wakweli. Kwa maneno yao wenyewe viongozi wa juu wa CCM wameshuhudia kuwa chama kimepoteza mvuto kwa watanzania na hasa kwa vijana. Wakati huohuo CHADEMA ni chama kilichojipatia umaarufu mkubwa na kukifunika CCM kwa kila namna, hasa kwa wakati huu.
Hivyo mtu anaporudisha kadi...
Hiyo furaha ya rais wako inaonekana kuwa ya gharama kubwa na inapatikana mara chache sana. Na isitoshe furaha hiyo anaipata kutokana na juhudi za waziri anayemwita mbabe!!
Hata huo utulivu haupo. Huwezi kumyima mtu haki yake ukategemea awe mtulivu. Watanzania ni wavumilivu sana. Lakini kila kitu kina mwisho wake. Ipo siku, tena haipo mbali uvumilivu wetu utaisha na hapo itabidi kutumia msemo wa warumi "ukitaka amani, basi andaa vita"
Huyu Rais kwa kukaidi kwake, kwangu mimi naona kuna mawili: ama ni dharau kwa mahakama ambacho ni chombo muhimu katika taifa letu au uhuru wa mahakama haupo.
Hapo kwenye Red:
Kwanza, Kama udini ulianza siku nyingi kwa nini huyo ****** asubiri mpaka uchaguzi uliopita? Hii inaonesha wazi kuwa anatumia udini aliouasisi yeye mwenyewe kufukia uovu, wizi na uchakachuaji alioufanya.
Pili, Juhudi gani za maendeleo alizofanya zaidi ya umasikini uliokithiri...
:happy:
Thanx Asha. Socrates has greatly influenced my system of thinking and that's why as I join the great thinkers, I do not hesitate to introduce myself with this great thinker in my signature and avatar. Again thanx for your concern and warm welcome!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.