Mm ni mshabiki wa IHEFU lile goli la 5 tulilofungwa na Yanga halikuvuka mstari the ball didn't cross the line that is to say It's not over until it's over.
Naona MASHABIKI wa Simba phawana muda mchafu wa kujibizana tangu lile sakata la MASHABIKI wa uto kusafirishwa kwenda Kwà Madiba,Yanga shindeni mechi yenu kwà kuwa mmekwapua hela mahali fulani.Simba ni wakiwa wañamtegemea Allah na si Mwanadamamu tena
Kwamba hilo ní jasho lao kwà kuingia mara kwà mara robo fainali sio wale wanaochukuaga ubingwa kwahisani za akina Malinzi aliyeitangazia dunia kamwe SIMBA haiwezi kuchukua ubingwa yy akiwa Rais wa TFF
Kanda ya Ziwa hàwana Ukabila kama ile jamii ya akina Mbowe,Lema,Mnyika nk KANDA ya ziwa wanamchagua mtu kwà sifa zake na si kwà kabila lake niko Chato kwenye kumbukizi ya Shujaa MAGUFULI RIP Magufuli
Ameeleza Mengi! U7
Ameeleza Mengi ya kumsagia Hayati Magufuli kunguni,itachukua miaka 100 Tanzania kupata Rais bora kama Shujaa MAGUFULI niko chato kwenye kumbukizi ya huyu MWAMBA kuwahi kutokea kuiongoza Nchi kwà mafanikio Makubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.