msitetee ujinga rejia hua anakurupuka na kuweka matukio ya kamati kuu, msitetee ujinga wa viongozi hao kuropoka sana kuwa watawafukuza shibuda na madiwani, leo wamekaa na wamepima upepo wamegundua watajikaanga wenyewe ndio maana wamenyuti, nilisubiri nikijuahakuna kipya hao magwanda ni bure...
naomba ufafanuzi kuhusu posho walizozikataa wazee wa magwanda, mbona zinaendelea kuzama kwenye account zao tu na hatuoni kelele tena? cheza na wanafiki wewe, au kama hujui wanapokea posho kaa kimya! siku magamba watawalipua magwanda utatafuta chaka la kujificha
kama hyo ilikua ilani ya cdm, kwa nini zito alikua anawakilisha kama hoja yake?
akawapa kazi ngumu akina mbowe kutangaza kuwa ni mpango wa cdm sio ya mtu mmoja, naona sasa cdm wanazidiwa na power strugle
endeeni kumalizana tu ccm hamitoi kwa style hii
1. Mzee Slaa anataka jimbo ili apate ahueni ya maisha na posho, hivyo mbowe atahakikisha wanamwondoa ili mzee slaa agombee.
2. Mbowe anajua huyu jamaa ni kikwazo sana kwa mwaka wa uchaguzi wa chama kwani na yeye anautaka au ataweza kushiriki kummaliza mbowe na mtandao wake.
3. Shibuda ni mbishi...
kwani wewe mrema kipara.....
huwezi kuishi bila majungu? jk anajenga zitto je unauhakika nausemalo?inamaana kiongozi wa nchi ni adui yenu kwa sababu ya makelel yenu? au ndio kazi yenu cdm kupigania madaraka tu, na mbona huyo mbowe hajarudisha gari na posho hawajaandikabarua ya kuzikataa, watu...
heheheheeeeeee huyo ndiye rais wenu eti anakiu ya posho na anaviza kajimbo kokote ajitose hahahahaaaaaaaaaa!!!!!
na nyie vueni gamba tuone, madiwani na huyo shubuda
kwa hiyo mbowe alitaka zitto aache cdm hili suala ili mbowe yeye aonekane ndiye kichwa safi zito kwa kuwazidi ujanja kumbe ulijua ni usanii tu ungefanyika
kumbe hata gari hajarudisha? mbowe jibu harka hili jambo ninajua ID yako ongea haraka na watu watakushangaa sana upuuzi huu sio wa...
Ukiwa na stress ingia humu tu, utacheka mpaka upone hiyo stress, yaani ni mipasho tu, hahahahahaaaaaaaaaaaaa, kila hoja inayowekwa hata kama inadai majibu ya hoja, hutayaona, bali utakutana na matusi hahahaaahaaaa.
Chadema na ccm mko fit sana kwa kutoleana matusi kumbe hili lipo wazi...
umeuliza swali zuri ila jitahidi kutumia maneno ya kiswahili unayoyajua tafdhali. hapo kwenye red, ni kisebusebu au umetohoa neno lako la kikabila chako?
Mbowe ana pesa bwana, anauza magari mazee ananunua mapya, hawezi kujisumbua na wapiga kura wake kwa sasa anajiandaa kuwa maarufu nchi nzima ili awazidi akina slaa na zitto.....eti amerudisha gari la serikali! jamaa anadhani watanzania bado watoto wa kuwafanyia usanii kama wa jk na mzee slaa...
eti miss parliament/ Regia
kwa hiyo regia wewe ni nani mpaka uwaamuru watu wahamie kule, kumbe upo humu kwa kazi kama mtumwa wa watu fulani , au unaposema fadhila kwa mbowe na slaa inamaana chama ni kampuni ya mtu, kwa hiyo kama wamekisaidia chama unataka hata wakiwa wanafanya ujinga waachwe tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.