Habari wana Jf,
Mimi ni kijana mwenye umri wa takribani miaka 30 nahitaji mwanamke ambaye anayehitaji kuwa mke kwa dhati awe serious kwa kweli.
Awe muislamu asizidi miaka 35,huduma zote kama mke atapata!masharti na vigezo kuzingatia!nasisitiza awe serious most of them mnakuja ku-ejoy watu,awe...
Naomba nikiri kwamba mi ni kijana wa miaka 29,sijaoa nahitaji mwanamke mwenye kuhitaji kuolewa,kama atakuwa muislamu itafaa zaid,sichagui kabila,umri niutakao asizid miaka 35,huduma zote za msing atapata kadri uwezo wang utakapukua unaweza!Elimu angalau iwe ya kidato cha nne!Karibun!
Sent using...
Yuni Company tunafanya utafiti wa maji chini ya ardhi kabla ya kuchimba kisima(geo-physical survey) kwa gharama nafuu kabisa katika mikoa yote nchini, Na pia tunakuunganisha na kampuni ya uchimbaji inayofanya kazi kwa gharama nafuu na pia tunatoa ushauri kuhusu visima vya maji bure bila malipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.