Search results

  1. Erick B

    Nahitaji ushauri/msaada wa biashara ya karanga na masoko yake

    Habari mkuu... Naomba kupata mwongozo wa soko kidogo kwa ulipofikia
  2. Erick B

    Natafuta zabibu kavu na almonds toka Zanzibar

    Em tufikirie namna ya kuzilima almonds.. Ukipata data tu we nirushie swala la kulima niachie.. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Erick B

    Natafuta zabibu kavu na almonds toka Zanzibar

    Em tufikirie namna ya kuzilima almonds.. Ukipata data tu we nirushie swala la kulima niachie.. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Erick B

    Kilimo na soko la almonds

    Naombeni connection ya anayeuza mbegu miche ya Almond au mkoa gani zinakubali zaidi.. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Erick B

    Kuuliza sio ujinga, almond zinalimwa sehemu gani nchini?

    Zinalimwa Arusha maeneo gani..? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Erick B

    Lifahamu zao la Macadamia (Karanga Pori) na jinsi ya kulilima

    Kwa aliyefanikiwa kupata details na ufaham wa upatkanaji mbegu atupe mrejesho.. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Erick B

    Hivi wakuu useremala hapa mjini bado unalipa? Nataka kutoka kwenye ajira kuirudia fani yangu

    Inalipa ukija ki sasa.. Sijasomea ila naplan ya kuwekeza uko mwakani... kama vipi uwe partner..
  8. Erick B

    Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

    Njoo TZ kwanza tuonane live.. sasa zinazotangaza kwa kingereza inakuje.. zinapatkanaje
  9. Erick B

    Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

    pole man.. duu mi nmehisi ii kitu kabla sjaanza so vipi ulifanikiwa kufungua pengine.. ? bizi inaendaje
  10. Erick B

    Kiwanja kinakodishwa Arusha

    Ata ikiwa $ USD haiwezekani kuuza kaka. ni kukodi tu
  11. Erick B

    Kiwanja kinakodishwa Arusha

    Uwezekano hamna bro. karibu ikodi
  12. Erick B

    Kiwanja kinakodishwa Arusha

    ni kukodisha tu.
  13. Erick B

    Kiwanja kinakodishwa Arusha

    Kiwanja kipo Arusha majengo juu kituo miambo kunja kushoto kama mita 50, kuna maji umeme na rum kama 2 (zinaeza kua office au etc.) available. Kinafaa matumizi ya Garage, packing or other company activities. eneo limetulia na usalama wa kutosha- geti kubwa & fence, choo kiko karibu na lami (50m)...
  14. Erick B

    Kiwanja Kinakodishwa Arusha

    Kiwanja kipo Arusha majengo juu kituo miambo kunja kushoto kama mita 50, kuna maji umeme na rum kama 2 (zinaeza kua office au etc.) available. Kinafaa matumizi ya Garage, packing or other company activities. eneo limetulia na usalama wa kutosha- geti kubwa & fence, choo kiko karibu na lami (50m)...
  15. Erick B

    Niko katika wakati mgumu kuliko wakati wowote wa maisha yangu

    Ficha jina ikibidi.. uwe na Aman na maisha yako
  16. Erick B

    Niko katika wakati mgumu kuliko wakati wowote wa maisha yangu

    Kama n mkristo Omba tubu kwa ajili yako na waliokutangulia (usijione msafi) tubu katika "KILA" eneo la maisha yako.. Mpe Yesu maisha yako kama Bwana na kiongozi,mwokozi,Mfalme na rafiki wa maisha yako mpokee moyoni mwako kwa nia na kiu ya kumjua,kumtafuta kumtii kwa moyo wako wote. baada ya apo...
  17. Erick B

    Niko katika wakati mgumu kuliko wakati wowote wa maisha yangu

    USHAURI; copy all the info uliyotoa chini ambatanisha na evidence zote kua umepitia ayo kila kitu kiwe clear na Org weka na namba za sim na bank Account omba msaada waliogiswa watatuma, Achana namengine na kutegemea watu sana, Weka evidence sema ukweli wote mwombe Mungu atagusa watu wake...
  18. Erick B

    Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

    Plan kubwa ni kuweka longterms goals koz kuna saa nahisi kama ukikodisha mahal mwenye eneo au nyumba akiona mpunga unaoingiza... baada ya mkataba kuisha anaeza kukuamisha ata vunga baada ya mda ataliendeleza... sasa apo bora kukomaa kununua kila kitu na kumiliki... kuanzia apo ni kuvuna tu.. na...
Back
Top Bottom