Wadau kama tuwajuavyo majembe hayo mawili wote wamepata kuwa na hadhi ya ukatibu mkuu wa chama ingawaje mpaka sasa dr. slaa bado ni katibu lakini katika utendaji wao hawa watu kila mtu ana mafanikio yake hasa historia zao za kutukuka sasa je kati ya hawa unafikiri ni yupi ana mvuto na uwezo...
Tumekuwa tukiona jinsi viongozi wa kisiasa na kidini wakitumia vitu hivi hasa kufikia malengo yao ya kisiasa au kiuchumi lakini kwa kweli hivi vitu vinatumaliza sana waafrika hususan hapa kwetu TZ vitu hivi vimekuwa mtaji mkuu kwa watawala na wasio watawala kupandia kwenye mafanikio ya kisiasa...
Anatafutwa mtu mwenye masters ya linguistics au english kwa ajili ya kuwa lecturer wa chuo cha jordan university college (constituent college of SAUT) morogoro tuma au peleka application yako pale mshahara ni mnono wahi sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.