Sitasahau siku dawiri wa kombania yetu alipokamatwa pori akiliwa uroda na afande.. Yan tulikula doso si la kitoto hatukulala usiku wote na asubuhi mbio kama kawaida... Tulikunja ngumi... Mapenzi ya nyoka.. Kutembea kibatabata nk yaani usiku kucha na kadada kenyewe kapo kamelala maana kalikuwa...
Nisamehe sana kama sijakureply mkuu, nilipewa ushauri mzuri nikaahidi kufanyia kazi nikaona niwe kimya ili uzi usiendelee kuwa active nipate muda wa kufanyia kazi ushauri niliopewa halafu nilete mrejesho.
Nimekuja mbio nikadhani labda umekuta kuna watu kibao wamejaa halafu na maturubai yamefungwa hivyo hujui kama kuna harusi au msiba.. Kumbe unataka kuweka kijiwe cha bodaboda? Weka at your own risk!!
Asante mkuu kwa ushauri mzuri wa kujenga. Nitafatilia hatua zote kama nilivyo ambiwa na kuleta mrejesho.. Kuna walionishauri niende CWT nikalalamike je nitapata usaidizi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.