Habari zenu wakuu? Mi sitaki kusema mengi naandka uzi huu nikiwa nimejaa na huzuni kutokana na kitendo kilichotokea.
Ilikuwa majira ya saa 5 usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi nilikuwa nasafiri naelekea Congo na rafiki yangu na gari za IT nikiwa kama dereva pamoja na rafiki yangu tuliamua...
Habari zenu wakuu, mimi ni kijana wa kiume ninaetaka kujikwamua kwenye janga la umaskini kupitia vimitaji vidogo lakini biashara ninayo ona itanifaa ni kuchukua matikiti bush kuyaleta town.
Kwa yeyote anayejua au aliyewahi kufanya biashara hii anipe njia ya kupata masoko kiwepesi bila kupitia...
habari ya sahv wananajamvi ? kama kichwa cha habari kinavyosema mimi ni kijana nasumbuliwa sana na maumivu ya kiuno mda mchache sana kinakuwa akiumi naomba mawazo yenu tafadhali wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.