mizigo cbebi mkuu ila huwa napga mazoezi makali sana mkuuKama hua unabeba vitu vizito,unatakiwa unapobeba mzigo uchuchumae kisha beba huo mzigo na uwe unainuka kwa miguu polepole,yaani huo mzigo unaoubeba uzito wake uchukuliwe na miguu yako na sio mgongo au kiuno.
Me.... kapata UTI ni kazi sana labda kama hajatahiriwa.Kapime UTI
nashukuru kwa nasaha ya kitaalum mkuuMe.... kapata UTI ni kazi sana labda kama hajatahiriwa.
Maana naona UTI ndiyo umekuwa wimbo wa mjini lakini napenda kuwahabarisha tu wana JF
Wengi wanaombiwa wana UTI ni biashara tu hiyo mnapigwa tu,wachache sana wanaoguliwa UTI Tanzania na Duniani kwa ujumla.
Na wengi huwa ni Watoto chini ya miaka ya mitano tena zaidi wa kike na wale wa kiume labda kama hajatahiriwa.
Wengine ni wanawake na zaidi wanawake wajawazito
Wengine ni wote ke na me lakini wazee ambazo utakuta usafi kwao ni shida,kinga za mwili zimeshuka,lishe dunia,kunywa kwao maji ni shida
Kwahiyo take care na UTI za Dar nyingi za wizi tu mjini shule!!
Usipo pona na dawa za hospitali nitafute mimi nipte kukutibia maradhi yako ya kiuno.habari ya sahv wananajamvi ? kama kichwa cha habari kinavyosema mimi ni kijana nasumbuliwa sana na maumivu ya kiuno mda mchache sana kinakuwa akiumi naomba mawazo yenu tafadhali wadau
ok sawa mkuu aina shidaUsipo pona na dawa za hospitali nitafute mimi nipte kukutibia maradhi yako ya kiuno.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
sawa mkui ngoja niarbubdawa za wazungu nikishindwa ntakutafutaUsipo pona na dawa za hospitali nitafute mimi nipte kukutibia maradhi yako ya kiuno.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
Huu Ugonjwa wa UTI kweli umekuwa sana kipindi hiki kila hospital hapa mjini ukipima ni UTIMe.... kapata UTI ni kazi sana labda kama hajatahiriwa.
Maana naona UTI ndiyo umekuwa wimbo wa mjini lakini napenda kuwahabarisha tu wana JF
Wengi wanaombiwa wana UTI ni biashara tu hiyo mnapigwa tu,wachache sana wanaoguliwa UTI Tanzania na Duniani kwa ujumla.
Na wengi huwa ni Watoto chini ya miaka ya mitano tena zaidi wa kike na wale wa kiume labda kama hajatahiriwa.
Wengine ni wanawake na zaidi wanawake wajawazito
Wengine ni wote ke na me lakini wazee ambazo utakuta usafi kwao ni shida,kinga za mwili zimeshuka,lishe dunia,kunywa kwao maji ni shida
Kwahiyo take care na UTI za Dar nyingi za wizi tu mjini shule!!