awe mwanaume au mwanamke ,
sehemu ya kazi ni morogoro wilaya ya mvomero.
kama una ndugu au rafiki anahitaji kazi mwambie na mhakikishie hakika kazi amepasha pata,
anipigie kwa namba
0625 66 92 54 kwa ajili ya interview.
NB; hakuna habari za nisaidie nitakupa kitu kidogo,
weledi kwanza...
Hivi nyie mnao andaa sherehe za harusi hapa dar ,kwa nn mnapenda kutulisha kuku za siku 10 , ???
Unakula kuku laini kama samaki mchanga ,
Jifunzeni basi ,,,mbina nyie mkija huku mikoani tuna waandalia kuku wa kitanzania
Mnaboa !!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.