Selikali haiwezi tangaza shule kufungwa kwa kuwa matokeo ya mvua yanautofauti wa kimazingira kwa kila sehemu. Kuna sehemu hata hiyo mvua hawaijui kabisa. Kuna maeneo mengine ni adimu sana mvua kunyesha mchana. Kuna mazingira mengine asubuhi huwa ni jua tu mfano mkoa wa mwanza
Hapo mbona mahesabu tu mshikaji. Yaani ile unaona dude limeegemea kwenu we unaenda upande wa lenyewe. Kitambo zipigane busu we uko zako mtaroni unazicheki tu kama mechi ya simba na yanga yani
Ameshindwa kupata watu wake waliofichwa katika eneo dogo sawa na wilaya ya ukelewe ataweza kuwaona watu watakaofichwa eneo kubwa kuliko nchi ya tanzania. Yaani mtu afichwe ilan wamuone ila washindwe kuona mateka waliofichwa gaza?
Hivi mumeliona vipi goli la Aziz kii. Mpiraumepigwa kutoka uwanjani na ukagonga nguzo ya juu amabayo iko nyuzi 90 na mstari na ikawa ndani ya gori. Hivyo ilikuwa imeshavuka nyuzi 90 na kwa shelia za mhamo (low of movement) ilitakiwa iwe na msukumo kuelekea ndani
Swali ni je
Kipi kiliurudisha...
Taifa teule tandika hayo magaidi ya poland na uingereza hadi yajue wewe siyo wa kuchezea. We unataka wafe watu wote harafu yenyewe yanapeleka chakula wakapone watu wote!
Ile ilikuwa ni video game kama ile ya september 11 kule marekani ili kuuhadaa ulimwrngu kuwa wanajeshi bora. Usa na israel ndo mataifa yanayodanganya watu kuwa wako vizuri kijeshi kwa njia hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.