Kuna yule aliyeita dikteta "uchwala polisi" walipoanza kazi akawahi kukwepa eti maana ya dikteta uchwala ni kuwa sio "dikteta halisi". Wakamwacha ila sjui sasa HV yuko wapi!
Mzee wa kazi ameamua mwaka 2018 asikike. Ila a an gale majira na nyakati asiharibu nchi inayoelekea pazuri. Aheshimu maandiko anayofundisha ili Mungu aendelee kumtumia na pia aheshimu wajibu wa wengine ili nao wamheshimu!
Nadhani wengi wetu hupenda kuuliza majibu. Wakati wa kuteuliwa RAIS alisema kabisa huyu atasaidia sana kufsiri sheria za Kofi Kwa BOT jambo ambalo Kwa vyovyote ni tatizo au byakati tunazoziendea za kudhibi umiliki wa madini ambayo in boom kubwa sana Kwa nchini hivyo bilavudhibiti wa kisheria...
Uhakika wa wazembe kumuweka fisadi madarakani ili wafisadike nae uliota mbawa ndio maana kila kukicha wanabweka njaa
njaa njaa.....! Mtakufa, waadilifu wanazidi nenepa maana tofauti ya kipato chao halali sasa na zamani no ya ongezeko. Tutafika tu na wao(mafisadi) itafika sehemu Watson's...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.