Jamani wana jf , mtandao wa tigo umekuwa wakitapeli, mimi sijajiunga na promo zao zozote wala sijihusishi na bahati nasibu zao. Lakini mwenzenu nakatwa pesa daily . Tena viwango tofauti tofauti. Mara 34 mara 60 wakati mwingine 100. Bila sababu yoyote na hawatumi sms kuni inform kuwa wamekata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.