BIG Mtani kwa kutomsahau punda lakini usisahau kucheleawa kufunguka kwa barabara kuliko sababisha muwe maskini kupita sehemu nyingine kumesababishwa na chama cha magamba (CCM)
Hatimaye ile siku tuliyokuwa tunaisubiri hatimaye imetimia baada ya kuwa tumetengana kwa mda wa miezi tisa toka ndugu zetu washikiliwe baada ya kudaiwa kumuua dereva wa mgombea ubunge wa ccm hatimae leo tuko nao pamoja baada ya hakimu kufuta kesi iliyokuwa inawakabili.OMBI LANGU KWA VIONGOZ WA...
Hatimaye ile siku tuliyokuwa tunaisubiri hatimaye imetimia baada ya kuwa tumetengana kwa mda wa miezi tisa toka ndugu zetu washikiliwe baada ya kudaiwa kumuua dereva wa mgombea ubunge wa ccm hatimae leo tuko nao pamoja baada ya hakimu kufuta kesi iliyokuwa inawakabili.OMBI LANGU KWA VIONGOZ WA...
We mtanzania toleo gani kipi kipya kwako hapo unaochohitaji evidence wakati kila kitu kipo wazi hata wenyewe wakati wanajivua gamba walificha na kusema hata kama hawana ushahidi wale wote wanaotuhumiwa na ufisadi wataondolewa bila hata ya ushahidi wakati kila kitu kipo wazi nina wasi wasi na...
Oooooops.........yani..,....kila siku nazidi kuchanganyikiwa ila tusisahau mtoto wa nyoka ni nyoka na hv wamekosa mtu mwenye ujuzi wa masuala ya umeme kumuweka kwenye nafasi hiyo ifike sehemu serikali yetu isione aibu kama haina wasomi ndani ya chama itafute nje ya chama isione aibu kuliko...
Ni kweli amekufa? Na kama ni kweli tuseme yule aliekua anadai anamlinda mwisho wake umefika? Maana mlinzi wake ka-rest in peace au kamuachia urithi! Jk pole kwa kumpoteza mlinzi mjaribu yule mngine anaeibukia kwenye mambn hayo awe mlinzi wako!
Nimekua member wa FB kwa muda wa miaka miwili lakini hakuna faida niliyoipata kwani nilikua nakutana na post nyepesi hususani za mapenzi na sura za watu ambao wako kama kwenye kutafuta soko la biashara ya........lakini tangu nilipoanza kutembelea jf hata kabla sijajiunga nayo nilianza kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.