Nyie nyumbu ni kipi hapo katika iyoeleza ambacho sio uhalisia wa mahakama zetu.
Ni kwamba hakuna kesi zinazopigwa danadana?
Ni kwamba kama Huna wakili mzuri kupoteza haki Yako mahakamani ni swala la kugusa tu
Acheni ushabiki maandazi, ni ukweli usio na shaka kuwa mahakani Kuna uozo mkubwa...
Kucheka Cheka ni dhahiri shahiri wewe ni sengerema Moja lililokubuhu.
Kutumia emoji katika maandishi pia inadhihirisha ulitoka na tone la hedhi mdomoni ulipozaliwa.
Inawezekana wewe pia nimeshakuharibu.
Ndio maana nimekuambia muulize mama Yako nani anatoa Hela ya matunzo hapo kwenu baada ya kuwaokota stendi ya makambako.
Emu chukulia una kijana wako wa kiume let's say Yuko katika early 30 kaja kwako kama baba yake na kukuambia amemzalisha Binti na Hana Nia ya kumuoa.
Kuhusu swala la matunzo ya mtoto utamshaurije?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.