Ndugu wana jamvi,
Nimekaa nikafikiria sana hivi kwanini Africa hatutaki kutumia majina yetu ya asili, ama hivi kweli tumekosa watafiti ama maprofesa ambao wangeweza kutembea nchi nzima kila kabila wakatafiti majina ya asili na maana zake wakatengeza kama kitabu kikubwa cha majina ya asili na...
Wakuu nakuja jukwaani kuelezea yaliyonikuta siku ya leo, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31 bahati nzuli nilipigiwa simu na mama yangu mdogo kua kuna binti mahali flani ananifaaa.
Basi nikapanga siku nikaenda nikamwona, kweli alikua ni msichana mzuli sana basi tulianza mahusiano nae mapenzi...
Mimi ni Kijana mjasiliamali natamani nianzishe kilimo cha alizeti alafu mwisho ninunue mashine ya kukamua hayo mafuta lakini changamoto yangu sijui hiyo mashine inapatikana wapi, pia sijui changamoto zitokanazo na kilimo cha alizeti pia hali ya hewa nzuli kwa kilimo cha alizeti, hivo wapendwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.