Chdema hamna akili jipangeni, chama kua na mvuto lazima kiwe na Sera unayoeleweka nyie Sera yenu ni nini ngoja ccm iwachambue kama karanga, jpm is a smart man
Mwisho Wa cdm umefika ukingoni, walifanya dhambi mbaya kumtelekeza Dr, slaa pengo lake halitazibwa, pia kuindoka kwenye mzizi Mkuu Wa falsafa yao ya kupambana na rushwa pamoja na uadilifu ndo kiliwaoaisha, sasaiv watakuja na nini kipya kitakacho warudisha kwenye chati, ni kazi kweli
Acha wawape adabu mlizoea kubembelezwa na kukaribishwa ikuku, njooni na falsafa ingine ya siasa sio maneno tu na kuitisha maandamano yasio na tija kwa RAIA Wa kawaida, sioni ubaya Wa jpm, hao ni washirika wenu wanajarib kupotosha tu
Sasa tume huru itaniletea elimu, itaniletea chakula kwangu, italeta technologies nchini, italeta itajenga miundombinu mizuli, italeta madawa ya kilimo kwa wananchi, naungana na mchangiaji kua cha msingi ni dhamira ya kweli kwa uongozi uliopo sehem husika sio katiba wala demokrasia, wengi...
Tumieni akili achaneni na siasa ,mvua ya mwezi Wa December 2017 imesababisha watu wengi kulima na kuivishia pamoja na kusababisha mahindi kuwa mengi na bei ya chini kwa hiyo ihukumu mvua kunyeesha, mfano sasa kwa wale waliolima nyanya wwnapiga hela kinoma ndo kilimo kilivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.