Habari wadau wa jf na wote mnaopita humu kupata habari; kama heading ilivyo hapo juu ninaushahidi ambao nitauambanisha hapa kudhihilisha kwamba kampuni ya vodacom tanzania inawaibia muda wa hewani wa wateja bila hata mteja kutumia simu kwa huduma yeyote ile.
Kabla sijaelezea kwanza niweke wazi...
Habari wanajf;Tangu mgombea ubunge wa bunge la jumuia ya afrika mashariki (EALA) Shy-Rose Bhanji aenguliwa na vikao rasmi vya CCM kumekuwa na maneno yenye lengo la upotoshaji toka kwake mwenyewe. Nayaita ni maneno ya upotoshaji kwa sababu yeye binafsi anajua sababu hasa iliyofanya jina lake...
Habari wadau wa jukwaa hili adhimu;
TANESCO yaanza operesheni ya kuwakatia umeme wadaiwa sugu zikiwemo taasisi za serikali.
Shirika la umeme nchini TANESCO limeanza operesheni ya kuwakatia umeme wadaiwa sugu zikiwemo taasisi za serikali ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Magufuli alilotoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.