Yalikuwa ni makosa makubwa sana kumpa uenyekiti wa TUCTA NDGU GRATION MKOBA,ambaye ameshindwa miaka mingi kuwatetea walimu.Yupo tu kula hela za michango ya wafanyakazi ya kila mwezi, huku hafanyi chochote.Sijui ni Mhaya wa wapi! HANA UBUNIFU WOWOTE WA KUWATETEA WAFANYAKAZI. Yeye na Kamati yake...
Halima Mdee ajifunze namna ya kufikisha ujumbe, sio lazima atoe matusi kama njia ya kufikisha ujumbe wake. Maneno ''fala, na mpumbavu''Yameonesha hana maadili mazuri wala hekima,ana panic tu na hasira nyingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.