Wakuu,
Naona Tigo aipo hewani simu inaniandikia emergency na jirani zangu vivyo hivyo kuna tatizo GANI ninatumia huduma ya simu bank kwenye line ya tigo, Tigo pesa ninamzigo wa kueleweka.
Wasije kuwa ma hacker wanafanya yao, msaada please watu wengi hawapatikani hewani nikitumia mtandao...
Kuanzia alasiri nimekuwa najaribu kutuma pesa kupitia huduma YA tigo pesa inagoma, hakuna maelezo YA maana zaidi YA kusema niwasiliane na huduma kwa wateja ambayo nayenyewe haipatikani.... Tigo badilikeno kama mmeshindwa fungeni ofisi zenu
Habari za kutwa wanajamvi. Nianze kwenda kwenye mada husika, kwa kipindi cha mwezi mmoja kumekuwepo na wimbi/kampeni/shuhuda wa watu waliokuwa wameadhirika na punyeto na thread zao zimekuwa nyingi Sana katika jukwaa. Kwa upande wangu Naona ihii ni kampeni YA kuhamasisha vijana au watu wasiojua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.