Wakuu habari za mchana,
Ninaomba kujua shule za private ambazo zinafaulisha vizuri lakini ada yake isizidi 1.2M coz nina mtoto wa kaka yangu alipata Div 3 ya 24 ana C- Hist, C- Geog, C- Kiswahili na mengine na hajachaguliwa chuo wala form five.
Hivyo, kaka ameniomba nijaribu kutafuta shule...
Habarini wakuu, Nina mdogo wangu kachaguliwa diploma in Clinical medicine sasa tunahitaji tufahamu duka linalouza vifaa vilivyohorodheshwa kwa upande sijui hayo maduka yako wapi. Naomba msaada wenu
Habarini wanajf
Nauza laptop aina ya Toshiba rangi nyeusi yenye specification zifuatazo.
Hard disk- 500GB
Ram- 4GB
Processor-2.5
price 320000 tsh
Haina tatzo lolote ila nimeamua kuuza tu
Habarini wanajukwaa!
Mimi ni mwalimu nimemaliza chuo mwaka 2016 level ya degree kwa masomo ya (BIOLOGY & GEOGRAPHY) kwa A'level nilisoma CBG. mawasiliano yangu 0744999752 nipo Dar es Salaam
Mimi ni mwalimu wa Masomo ya Biology & Chemistry nimehitimu 2016 level ya degree natafuta shule ya kufundisha wadau my no 0744999752. Nipo Dar es Salaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.