Hayo maneno aliimba Bichuka, ktk wimbo huu Dede ndiye alianza kuimba "Ulinisaliti kwa taraka rejea bila aibu ulininyang'a nguo mbele za watu Huku ukitoa kashfa nikajifunze kwa wazazi wangu "Bitchuka alimalizia kuimba mwishoni "nakuambia mimi sikutaki tena...
KUNA JAMAA KATIKA FACEBOOK KAANDIKA HIVI;
Mzanzibar mmoja aliniuliza kuwa nchi yenu iko wapi , coz nchi yetu ni zanzibar na nchi ya Tanzania ni ya wote. nilibanwa na haja ghafla nikakimbia. JK atoe majibu asituzingue.
Habari za jumapili wana jf,naomba kujua maana ya maneno haya yanayotumika sana katika medani za kisiasa.maneno hayo ni kura za rambirambi,kura za kiitifaki na kura za maruhani​.nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.