Leo Jimapili kutakuwa na mkutano wa hadhara wa CHADEMA utakaohutubiwa na mbunge wa Arusha mjini Godbles lema akiwa na Salum Mwalimu.Mojawapo ya ajenda za leo ni kuwashukuru wananchi kwa kuchagua UKAWA katika uchaguzi wa serikari za mitaa na kutoa pole kwa kifo cha Mwanachadema aliyepigwa risasi...
Sijua mamlaka zinazohusika zimelala usingizi gani yaani maTrafick na EWURA.umbali wa hapa Nzega-Tabora ni KM 116 nauli ni kuanzia Tsh 12,000 mpaka 15,000 hailingani kabisa na hali halisi. wakati umbali wa Nzega Mwanza ni KM 246 na nauli ni Tsh 8000 tu. Serikari hii dhaifu haifai kuachiwa...
Matokeo ndani ya saa 24
Kwa upande wake, NEC imesema itafanya kila linalowezekana kukata mzizi wa fitina kwa kumtangaza mshindi usiku wa kuamkia Jumatatu, Oktoba 3, mwaka huu.Profesa Chaliga alisema hatua hiyo inalenga kuepusha vurugu au kuwapo kwa vitendo vya uvunjifu wa amani ambavyo...
Niko mbele ya Luninga, namsikia Ndugu Tundulisu akichangia juu ya misamaha ya kodi kwa wawekezaji,nikamuelewa vizuri sana juu ya hoja zake.Akasimama mbunge wangu Ndugu H.A Kigwangala(Said Bagaire) akaanza kuwatetea wawakezaji na kuunga mkono hoja kwamba wawekezaji eti wanaleta ujuzi.
Ikumbukwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.