Search results

  1. Baba Munah

    Spika amuokoa Zitto kukamatwa na Police Bungeni

    KITENDO cha Jeshi la Polisi kutaka kumkamata Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe, juzi baada ya kutoka bungeni, kilimfanya mbunge huyo kuondoka bungeni usiku wa manane kuamkia jana kwa msaada wa Spika wa Bunge, Job Ndugai. Juzi, wakati Zitto akiwasilisha hoja bungeni kuhusu...
  2. Baba Munah

    Viongozi wa kidini wamuunga mkono RC Makonda

    Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amesema dawa za kulevya zinateketeza nguvukazi ya Taifa, jambo ambalo halipaswi kuachwa liendelee kumea. Akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Sheikh Alhad amesema baraza la viongozi wa dini la kupambana na...
  3. Baba Munah

    Mkuu wa mkoa wa Tanga nae atangaza vita dhidi ya dawa za kulevya

    Mkuu wa mkoa wa Tanga Martin Shigella ametangaza rasmi vita dhidi ya dawa za kulevya kwa kuwataka wenyeji wa maeneo ya mpakani kushirikiana na serikali kwa kutoa taarifa ya kuwafichua na uhalifu huo. Kauli hiyo ameitoa wakati akizindua zoezi la uandikishaji wa wa wahamiaji walowezi mkoani hapa...
  4. Baba Munah

    Kauli ya Freeman Mbowe Baada ya Makonda Kumtaja kwenye Orodha ya Wahusika wa Madawa ya Kulevya

    Muda mfupi baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuwaita polisi kuhojiwa kwa tuhuma mbalimbali, baadhi ya walioitwa wamelaani hatua hiyo wakisema inalenga kuwachafulia majina na heshima mbele ya jamii. Miongoni mwa waliotwa ni Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ambaye...
  5. Baba Munah

    Korti yatupa pingamizi la Lema

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, imetupa pingamizi la mawakili wa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema la kuitaka isisikilize kesi ya kuhamasisha maandamano ya UKUTA, bali kwanza ifikishwe Mahakama ya Katiba. Lema, ambaye ni mbunge kupitia CHADEMA, anakabiliwa na kesi hiyo akidaiwa kuhamasisha...
  6. Baba Munah

    Upinzani wapinga Mbowe kutajwa sakata la Madawa ya kulevya

    Wabunge Wapinga Mbowe Kutajwa na Makonda,Zitto Kabwe Atoa Povu Hili..!!! Hatua ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kumtaja Kiongozi wa Upinzani bungeni, Freeman Mbowe kufika katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini hapo kesho kuhojiwa, imewachefua baadhi ya wabunge. Wabunge waliohojiwa...
Back
Top Bottom