Search results

  1. M

    Tundu Lissu asusia mkutano Dar

    ccm sikwamba anapesa pesa ni za wananchi wa tz,ila waowamefanyakama zao.
  2. M

    Jamani Prof. Mukandara anaitafuna UDSM

    vyuo vyote tanzania vina matatizo hata udom ni noma mno,wanashindwa kuwalipa walimu ila ni ansa tu kwakwenda mbele,wakiongozwa na mlacha na boss wake.
  3. M

    Risk Assessment and Management: CHADEMA nayo Imuondoe Dr. W. Slaa!

    kwa mtu kama wabe hana budi kwenda kwa babu,ogopa sana kitu kiitwacho vita ya udini hapa duniani utaona ni bora hata taabu ya libya.kwamsomi vita ya udini ni balaa.watanzania tuwe na critical thinking kama hujui maana yake mtafute msomi wa mtaani kwako akwambie kwani tanzania by now kila mtaa...
  4. M

    Risk Assessment and Management: CHADEMA nayo Imuondoe Dr. W. Slaa!

    WATANZANIA.tuwe makini sana na watu wanaotueleza kuhusu siasa za tanzania.kwa wale waliobahatika kupata elimu think logically,hawa ambao wanamtuumu chadema kuwa ina udini na ukabila,let us think about ccm the top layer ina waislam wangapi je twaweza kusemaje.msilopoke kwasababu aliyeazisha ni...
  5. M

    Risk Assessment and Management: CHADEMA nayo Imuondoe Dr. W. Slaa!

    WABEROYA,nafikiri bdo upo pree form one ukifika kidato cha 4 and progressvely utaelewa umuhim wa chadema.toa hoja zinazofafanua hoja ya udini na ukabila.acha kupotosha watanzania unatakiwa kuwaelimisha kuhusu uraia na haki zao.ccm haitakusaidia kwa lolote
  6. M

    Elections 2010 CCM Mbeya Mjini yajipanga kukomboa jimbo 2015

    wananchi wa mbeya mjini naomba kama mnaipenda nchi yenu msiwaonee huruma ccm,mkijaribu tu kuwapa madaraka kiukweli watawatolea uvivu,sisi tuliopo makao makuu ya nchi tunaona maovu wanayofanyiwa watu wa dodoma.hawa ndo wanaolinda rasilimali za makao makuu ni noma je nyinyi itakuwaje,acheni woga...
  7. M

    Ni kitu gani hutufanya tuwe na mpenzi zaidi ya mmoja?

    tatizo kwa nchi yetu kuu ni kutokuwa busy au kutokuwa na kazi maalum ya kufanya,jambo lingine ni utandawazi kwa wanawake kwa suala la mavazi.by me udom
  8. M

    Kongamano la CHADEMA Vyuo Vikuu Dodoma

    kwa kazi tuliyoifanya dodoma this week kweli watanzania wameamka kwani vyuo vina watu kutoka kila pande ya tz,ila bado kuna wasomi ambao hawajaelimika kwa kuogopa ccm.mungu bariki udom
Back
Top Bottom