Ninatatizo la kujihisi mwilini haswa kwenye mbavu,miguuni na kichwani kuna vitu vinatembea mwilini haswa mida ya usiku.
Msaada wenu wanajamvi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu wana JF. Hivi pindi ifikapo mida ya usiku huwa kuna kitu kina chezacheza/kutekenya sehemu ya haja kubwa pamoja na kuwashwa kwenye makalio iwe Asubuhi, mchana hadi usiku.
Ni dalili ya nini/ama ugonjwa gani huu.......?
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, naishi mkoa wa Dar es Salaam.
Nakuja hapa kwa mara ya kwanza,
Natafuta/Nahitaji mwanamke mwenye umri wa kuanzia miaka 21 mpaka 25 ambaye yupo tayari tuwe wapenzi kwa ajili ya kuja kuona.
Nipo serious sana ila ningependa awe Muislamu na awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.