Huyo Askari ninampa tano japo alipiga risasi juu hawa viongozi wanamna hii wanatishia watumishi na RAIA wa kawaida hongera askari upandishwe na CHEO hawa watu wanatuboa sana
Its politics drama mnawaraumu buree police, viongozi wa CUF wanaweza wa kamaliza huu mgogoro so nguvu mnayopeleka kwa police pelekeni kwa viongozi wa CUF yaani maalim na lipumba
Watumishi namba tutaisoma maana watetezi, wasomi na wanasiasa wote wapo kwenye mambo ya udaku maswala ya msingi wameyaacha, hii ndio Tanzania kila MTU anaubinafsi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.