Nawasikitikia wanao maliza form 4 miaka hii, yaani ni taabu tu.
Kwanza hizo fomu ambazo huwa wanawapa wachugue shule za kidato cha 5 za nini? Wanawapa watoto fomu za kuchagua michepuo na shule au vyuo ambavyo wanataka waende, unaweka angalau mwanafunzi achague shule 4.
Halafu wewe...
Wadau
Nimeomba salio la deni ninalodaiwa na bodi ya mikopo ya elimu ya juu. Nilichopewa sio salio ni mkanganyiko wa kufadhaisha sana. Kwanza wamedai hesabu zao ni tafauti na hazina.
Kwenye salary slip yangu inaonyesha nadaiwa 1,252,530. Ila wao wamenipa salio la zaidi ya milioni 3.
Swali ni...
Wasukuma ni moja kati ya makabila machache ambayo bado yana ukabila. Yaani msukuma akiona msukuma mwenzake ana cheo anajiona kama yeye hata kama mwenye cheo uwezo wake wa kiutendaji ni mdogo sana. Ukitaka kujua wasukuma bado wana ukabila tembelea wilaya za wasukuma tu kama Misungwi na Kwimba ndo...
Kweli wee msukuma. Ha Ha Ha Ha "Eti the boss is always right" Ha Ha Ha Ha Ha, Hii umeitoa wapi? Wasukuma hamtakuja kupewa urais tena maana inaonekana muna akili za hovyo kabisa. Ha Ha Ha Ha
Waraka huu uko very deep! Na naupa A+
"Kama maendeleo hayana chama kwanini mtu ajiuzuru chama fulani, eti kwenda kuleta maendeleo katika chama kingine?" Wamesema udhalilishaji kauli njema kwasababu ni kauli ya mtukufu. Ila CCM kwa ubovu wao na kushindwa kwao kuleta maendeleo, wame prove...
Uko very deep! Nimeusoma sijaona mapungufu. Naupa A+
Kama maendeleo hayana chama kwanini mtu ajuzuru chama fulani, eti kwenda kuleta maendeleo cha kingine? Udhalilishaji wa kauli ya mtukufu. Wemesema njema kwasababu ni ya mtukufu. Ila ni kauli mbovu. Maana CCM imesha prove 100% haiwezi leta...
KAMA TUNA MRUDISHA JAKAYA KIKWETE, HAPO SAWA LAKINI SIYO WA SASA. YAANI ANA MIAKA 2 TU UTAFIKIRI AMEKAA MIAKA 10 AMECHOKWA HAIJAWAHI KUTOKEA NA MIOYO YA WATZ WENGI HAINA FURAHA TENA NA NCHI YAO. KAMA KUNA MTANZANIA AMBAYE SIYO MKUU WA MKOA, MKUU WA WILAYA AU MKRUGENZI BADO ANAJIVUNIA UTANZANIA...
Wadau,
Nimesekiliza watanzania tuongee magazeti ya radio free afrika leo hii, nikasikia habari ya kile alichosema Eric Abidal wakati amefanyiwa operation ya kansa ya ini wakati akicheza Barcelona nikasikitika sana. Ukisoma habari hii kwenye magazeti ya Spain kama Marca, Sport English na Mundo...
Huyu Evarist Chahali kumbe hana hakili, ameandika upumbavu. Uenyekiti wa mtu sisi unatuhusu nini? cha maana ni utumishi wake, swala la kungalia ana ufanisi? Ndiyo! kama ni ndiyo kwanini atoke? Simply Chahali hana hakili. Angekuwa mwenye busara angeongelea ukosefu wa ajira wa sasa, umasikini...
Huyu mzee kariharibia sana siku leo pamoja kuwa sijawahi kumuunga mkono ila nilikuwa namuona kama labda anaweza kuwa mtetezi wetu kumbe sivyo. Na kauli ya kuumiza zaidi leo ni " Eti anafanya vizuri tumuunge mkono". Hata kama wewe siyo mtafiti utaona direct kuwa Magufuli hafanyi vizuri.
Mimi sijayaona matokeo toka ya tangazwe, mwanzoni nilidhani mtandao wangu uko duni lakini baada ya kuwa najaribu website zingine za TZ zinafunguka fasta ndo nikadhani kuna kitu kingine ambacho sikijui, kama ni hivyo NECTA ni wabovu sana leo 2018 unafungua website ina respond kama 2005
Wadau
Kitu gani kinakuwa kikwazo kwa website ya NECTA inagoma kufunguka zaidi ya saa 30 toka matokeo yatangazwe au ndo teknolojia duni ya wataalamu wetu. Inashangaza sana matokeo yanatangazwa lakini kila ukijaribu kwa kila aina ya link unayopewa unaletewa neno " This page can't be displayed".
Unaleta hoja za marais wanaopenda kusifiwa au kujisifu, na wasaidizi wao wanaobabaishwa na vitu vidogo sana kama issue ya Kakobe. Wanajipamba sana lakini mtaani kuna impacts ambazo ni negative na maisha ni magumu kuliko vipindi vyote nimeshuhudia ambavyo mimi nilikuwa mtu mzima yaani kipindi cha...
YAWEZEKANA NIKWELI. ILA MIMI NAMUENZI JK KIKWETE NDO RAIS WANGU BORA WA MUDA WOTE
SABABU KUU:
1. ALINIAJILI TU BAADA YA KUMALIZA CHUO
2. ALIKUWA ANIBADILISHIA MSHAHARA WANGU KILA BAADA YA MWEZI WA SABA. NA KAMA JK ANGEENDELEA KUWA MADARAKANI LEO 2018 TAKE HOME YANGU INGEKUWA OVER 1.5M
#KAMA...
NYIE MUNAOPEWA VIHELA VYA HONGO MUNAKUJA KUTETEA UJINGA UJINGA HAPA NA UPUMBAVU MUNAUDHI SANA. MAISHA NI MAGUMU BANA EBO!! SERIKALI YA AWAMU IPI WATUMISHI TUMEKAA ALMOST NA MSHAHALA ULE MIAKA 3 MFULULIZO, EBO! MUNAUDHI SANA MAISHA NI MAGUMU NA NI MAKALI SANA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.