SUBIRI USHUGHULIKIWE ILI UJUE KUWA NCHI HII NI YA WATZ WOTE NA WALA SIO YA BABAAKO WALA MAMAAKO, NGOJA MALYA ALE MSHAHARA WAKO KWA UFALO WAKO WA KUAMINI KUWA BADO KIKWETE ALIYEKUPUUZIA NA MATUSI YAKO NDIO RAISI WA TZ...
SAMAHANI HII NI HOTUBA YA MAPATO NA MATUMIZ YA WIZARA AU? MBONA UMEJIBU HANGOVER? CHUO GANI KIMEANZISHWA VIBANDA VYA KUKU NA MACONTENA..TAJA...WE UMESOMA CHUO GANI? CHUO GANI HAKINA MWL WA MASTRES? NAOMBA UJIBU HAPA TOKA 2015 BUNGE LISHAAPINGA BAJETI YA WIZARA YA ELIM? Fedha za kuajiri 2014/15...
K
KWAKWELI HUYU MAMA, ATABEBA LAWAMA KUANZIA KUWAFUKUZA WANAFUNZI UDOM..KWA MADAI NI VILAZA HUKU MTOTO WA FARU AKIWA KILAZA NO..MOJA NA KUENDELEA KUSOMA DEGREE HRM-udom
Habari wanajamvi,
Leo nakuja na ushauri wa kumtaka huyu mama aachie ngazi kwani amekuwa akiyumba sana, kwa kutomueleza mkuu uhalisia wa elimu nchini.
Huyu mama kwa mda mchache aliopewa wizara pamoja na uprofesa wake amesababisha mengi katika sekta ya elimu;
>Wanafunzi vyuo kukosa mikopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.